WAZIRI KAIRUKI AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUCHAGIZA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

Angela Msimbira, MANYARA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Angellah Kairuki amemshukuru Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kuchagiza maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kwenye sekta ya elimu.Waziri Kairuki ameyasema hayo leo Novemba 22, mwaka huu alipokuwa akizungumza na wananchi